Zaburi 30:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 “Je, utapata faida gani nikifa na kushuka hadi kwa wafu? Je, mavumbi ya wafu yanaweza kukusifu? Je, yanaweza kusimulia uaminifu wako? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 “Je, utapata faida gani nikifa na kushuka hadi kwa wafu? Je, mavumbi ya wafu yanaweza kukusifu? Je, yanaweza kusimulia uaminifu wako? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 “Je, utapata faida gani nikifa na kushuka hadi kwa wafu? Je, mavumbi ya wafu yanaweza kukusifu? Je, yanaweza kusimulia uaminifu wako? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu, katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako? Tazama sura |