Zaburi 30:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mwimbieni Mwenyezi-Mungu sifa, enyi waaminifu wake; kumbukeni utakatifu wake na kumshukuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mwimbieni Mwenyezi-Mungu sifa, enyi waaminifu wake; kumbukeni utakatifu wake na kumshukuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mwimbieni Mwenyezi-Mungu sifa, enyi waaminifu wake; kumbukeni utakatifu wake na kumshukuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Mwimbieni Mwenyezi Mungu, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Mwimbieni bwana, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu. Tazama sura |