Zaburi 30:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ee BWANA, nitakutukuza kwa maana umeniinua, Wala hukuwafurahisha adui zangu juu yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Ee Mwenyezi-Mungu, nakutukuza maana umeniokoa, wala hukuwaacha maadui zangu wanisimange. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Ee Mwenyezi-Mungu, nakutukuza maana umeniokoa, wala hukuwaacha maadui zangu wanisimange. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Ee Mwenyezi-Mungu, nakutukuza maana umeniokoa, wala hukuwaacha maadui zangu wanisimange. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Nitakutukuza wewe, Ee Mwenyezi Mungu, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Nitakutukuza wewe, Ee bwana, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu. Tazama sura |
Ndipo Daudi akarudi ili awabariki watu wa nyumbani mwake. Na Mikali, binti Sauli, akatoka nje aende kumlaki Daudi, naye akasema, Mfalme wa Israeli alikuwa mtukufu leo namna gani, akijifunua mwili wake mbele ya vijakazi vya watumishi wake, mfano wa watu baradhuli mmojawapo, ajifunuavyo mwili wake mbele ya watu, asipokuwa na haya!