Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 29:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Airusharusha Lebanoni kama ndama wa ng'ombe; Lebanoni na Sirioni kama mwananyati.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Huirusha milima ya Lebanoni kama ndama, milima ya Sirioni kama mwananyati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Huirusha milima ya Lebanoni kama ndama, milima ya Sirioni kama mwananyati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Huirusha milima ya Lebanoni kama ndama, milima ya Sirioni kama mwananyati.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.

Tazama sura Nakili




Zaburi 29:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati, Nimepakwa mafuta mabichi.


Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.


(na hiyo Hermoni Wasidoni huiita Sirioni, na Waamori huiita Seniri);


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo