Zaburi 29:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 BWANA aketi juu ya Gharika; Naam, BWANA ameshika hatamu ya ufalme milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mwenyezi-Mungu ameketi juu ya gharika; Mwenyezi-Mungu ni mfalme atawalaye milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mwenyezi-Mungu ameketi juu ya gharika; Mwenyezi-Mungu ni mfalme atawalaye milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mwenyezi-Mungu ameketi juu ya gharika; Mwenyezi-Mungu ni mfalme atawalaye milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mwenyezi Mungu huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Mwenyezi Mungu ametawazwa kuwa Mfalme milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele. Tazama sura |