Zaburi 28:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Usinikokote pamoja na wasio haki, Wala pamoja na watenda maovu. Wawaambiao jirani zao maneno ya amani, Lakini mioyoni mwao mna madhara. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Usinipatilize pamoja na watu wabaya, pamoja na watu watendao maovu: Watu wasemao na wenzao maneno ya amani, kumbe wamejaa uhasama moyoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Usinipatilize pamoja na watu wabaya, pamoja na watu watendao maovu: Watu wasemao na wenzao maneno ya amani, kumbe wamejaa uhasama moyoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Usinipatilize pamoja na watu wabaya, pamoja na watu watendao maovu: watu wasemao na wenzao maneno ya amani, kumbe wamejaa uhasama moyoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Usiniburute pamoja na waovu, pamoja na hao watendao mabaya, ambao huzungumza na majirani zao maneno mazuri, lakini mioyoni mwao wameficha chuki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Usiniburute pamoja na waovu, pamoja na hao watendao mabaya, ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri, lakini mioyoni mwao wameficha chuki. Tazama sura |