Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 27:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumainia BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Hata jeshi likinizunguka, moyo wangu hautaogopa kitu; hata nikikabiliwa na vita, bado nitakuwa na tumaini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Hata jeshi likinizunguka, moyo wangu hautaogopa kitu; hata nikikabiliwa na vita, bado nitakuwa na tumaini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Hata jeshi likinizunguka, moyo wangu hautaogopa kitu; hata nikikabiliwa na vita, bado nitakuwa na tumaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Hata jeshi linizingire pande zote, moyo wangu hautaogopa; hata vita vitokee dhidi yangu, hata hapo nitakuwa na ujasiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Hata jeshi linizunguke pande zote, moyo wangu hautaogopa; hata vita vitokee dhidi yangu, hata hapo nitakuwa na ujasiri.

Tazama sura Nakili




Zaburi 27:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Sikieni, Yuda wote, nanyi mkaao Yerusalemu, na wewe mfalme Yehoshafati; BWANA awaambia hivi, Msiogope, wala msifadhaike kwa ajili ya jeshi kubwa hili; kwani vita si yenu bali ni ya Mungu.


Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?


Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.


Sitayaogopa maelfu na maelfu ya watu, Waliojipanga Juu yangu pande zote.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Nao wenye haki wataona; Wataingiwa na hofu na kumcheka;


wala hamwaogopi adui zenu, katika neno lolote; kwao hao ni ishara thabiti ya kuangamizwa, bali kwenu ninyi ni ishara ya wokovu, huo utokao kwa Mungu.


Lakini hata mkiteswa kwa sababu ya kutenda haki, mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu.


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.


Baada ya hayo kulikuwa na vita tena; naye Daudi akatoka, naye akapigana na Wafilisti, naye akawaua kwa uuaji mkuu; nao wakakimbia mbele yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo