Zaburi 27:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wamenijia, Nao watoao jeuri kama pumzi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Usiniache maadui wanitende wapendavyo; maana mashahidi wa uongo wananikabili, nao wanatoa vitisho vya ukatili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Usiniache maadui wanitende wapendavyo; maana mashahidi wa uongo wananikabili, nao wanatoa vitisho vya ukatili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Usiniache maadui wanitende wapendavyo; maana mashahidi wa uongo wananikabili, nao wanatoa vitisho vya ukatili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Usiniachilie kwa nia za adui zangu, kwa maana mashahidi wa uongo wameinuka dhidi yangu, wakipumua ujeuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Usiniachilie kwa nia za adui zangu, kwa maana mashahidi wa uongo wameinuka dhidi yangu, wakipumua ujeuri. Tazama sura |