Zaburi 27:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Unifundishe njia yako, ee Mwenyezi-Mungu; uniongoze katika njia iliyo sawa, kwa sababu ya maadui zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Unifundishe njia yako, ee Mwenyezi-Mungu; uniongoze katika njia iliyo sawa, kwa sababu ya maadui zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Unifundishe njia yako, ee Mwenyezi-Mungu; uniongoze katika njia iliyo sawa, kwa sababu ya maadui zangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Nifundishe njia yako, Ee Mwenyezi Mungu, niongoze katika njia iliyo nyoofu, kwa sababu ya watesi wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Nifundishe njia yako, Ee bwana, niongoze katika njia iliyonyooka kwa sababu ya watesi wangu. Tazama sura |