Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 27:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Unifundishe njia yako, ee Mwenyezi-Mungu; uniongoze katika njia iliyo sawa, kwa sababu ya maadui zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Unifundishe njia yako, ee Mwenyezi-Mungu; uniongoze katika njia iliyo sawa, kwa sababu ya maadui zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Unifundishe njia yako, ee Mwenyezi-Mungu; uniongoze katika njia iliyo sawa, kwa sababu ya maadui zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nifundishe njia yako, Ee Mwenyezi Mungu, niongoze katika njia iliyo nyoofu, kwa sababu ya watesi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Nifundishe njia yako, Ee bwana, niongoze katika njia iliyonyooka kwa sababu ya watesi wangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 27:11
22 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.


Uone kama iko njia iletayo majuto ndani yangu, Ukaniongoze katika njia ya milele.


Ni nani amchaye BWANA? Atamfundisha katika njia anayoichagua.


Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.


Mguu wangu umesimama palipo sawa; Katika kusanyiko kuu nitamhimidi BWANA.


BWANA, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uinyoshe njia yako mbele ya uso wangu,


Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.


Ni nani atambuaye maovu yetu? Tumepanga njama kwa werevu mwingi, Maana katika moyo wa mtu na fikira mengi yamefichika.


Ee BWANA, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako;


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.


Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Maana nimesikia shutuma za watu wengi; hofu ziko pande zote. Rafiki zangu wote, wanaonivizia nisite, husema, Mshitaki, nasi tutamshitaki, huenda akahadaika, nasi tutamshinda, tutajilipiza kisasi kwake.


Wakamviziavizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya mtawala.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo