Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 27:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Hata baba yangu na mama yangu wakiniacha, Bali BWANA atanikaribisha kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Hata kama wazazi wangu wakinitupa, Mwenyezi-Mungu atanipokea kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Hata kama wazazi wangu wakinitupa, Mwenyezi-Mungu atanipokea kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Hata kama wazazi wangu wakinitupa, Mwenyezi-Mungu atanipokea kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hata baba yangu na mama yangu wakiniacha, Mwenyezi Mungu atanipokea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Hata kama baba yangu na mama wakiniacha, bwana atanipokea.

Tazama sura Nakili




Zaburi 27:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akamwambia Abishai, na watumishi wake wote, Angalieni, huyu mwanangu, aliyetoka viunoni mwangu, anautafuta uhai wangu; sembuse Mbenyamini huyu? Mwacheni alaani, kwa sababu BWANA ndiye aliyemwagiza.


Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, Na asiyetambuliwa na wana wa mama yangu.


Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake; Na kuwachukua kifuani mwake, Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.


Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.


na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.


Tazama, saa inakuja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; lakini mimi siko peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami.


Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu?


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo