Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 26:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 BWANA, nimependa makao ya nyumba yako, Na mahali pa maskani ya utukufu wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ee Mwenyezi-Mungu, napenda makao yako, mahali unapokaa utukufu wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ee Mwenyezi-Mungu, napenda makao yako, mahali unapokaa utukufu wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ee Mwenyezi-Mungu, napenda makao yako, mahali unapokaa utukufu wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ee Mwenyezi Mungu, naipenda nyumba yako unakoishi, mahali pale utukufu wako hukaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ee bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 26:8
22 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mfalme akamwambia Sadoki, Rudisha sanduku la Mungu mjini; nikipata kibali machoni pa BWANA atanirudisha, na kunionesha tena sanduku hili, na maskani yake;


Nami tena kwa kuwa nimeiwekea nyumba ya Mungu wangu shauku yangu, nami ninayo hazina yangu mwenyewe ya dhahabu na fedha, ninaitoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, zaidi ya hiyo akiba niliyoiwekea tayari nyumba takatifu;


hata makuhani hawakuweza kusimama ili kufanya huduma yao, kwa sababu ya lile wingu; kwa kuwa nyumba ya Mungu imejaa utukufu wa BWANA.


Basi Sulemani alipomaliza maombi hayo, moto ukashuka kutoka mbinguni, ukateketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu; utukufu wa BWANA ukaijaza nyumba.


Wala makuhani hawakuweza kuingia nyumbani mwa BWANA, kwa kuwa utukufu wa BWANA umeijaza nyumba ya BWANA.


Kwa ajili ya nyumba ya BWANA, Mungu wetu, Nitakuombea mema.


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu kwingineko; Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kuishi katika hema za uovu.


BWANA yu tayari kunipa wokovu. Basi, kwa vinubi tutaziimba nyimbo zangu, Siku zote za maisha yetu nyumbani mwa BWANA.


Tena Hezekia alikuwa amesema, Iko ishara gani ya kunionesha ya kuwa nitapanda niingie nyumbani mwa BWANA?


Ndipo roho ikaniinua, nami nikasikia nyuma yangu sauti kama mshindo wa radi kuu, ikisema, Na uhimidiwe utukufu wa BWANA tokea mahali pake.


Ikawa baada ya siku tatu wakamwona hekaluni, ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.


Akawaambia, Kwa nini mnitafute? Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwamo katika nyumba ya Baba yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo