Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 26:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Sijumuiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Sijumuiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Sijumuiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,

Tazama sura Nakili




Zaburi 26:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;


Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Mimi ni mwenzi wa watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Sikuketi katika mkutano wao wanaojifurahisha, wala sikufurahi, niliketi peke yangu kwa sababu ya mkono wako; kwa maana umenijaza ghadhabu.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo