Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 26:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Mguu wangu umesimama palipo sawa; Katika kusanyiko kuu nitamhimidi BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Mimi nimesimama mahali palipo imara; nitamsifu Mwenyezi-Mungu katika kusanyiko kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Mimi nimesimama mahali palipo imara; nitamsifu Mwenyezi-Mungu katika kusanyiko kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Mimi nimesimama mahali palipo imara; nitamsifu Mwenyezi-Mungu katika kusanyiko kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu bwana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 26:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza la wazee.


Haleluya. Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote, Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.


Huko ndiko wapandako kabila, makabila ya BWANA; Kama ulivyowaamuru Waisraeli, Walishukuru jina la BWANA.


Ili niitangaze sauti ya kushukuru, Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.


Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;


Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.


Yuko Benyamini mdogo, mtawala wao; Wakuu wa Yuda, kundi lao; Wakuu wa Zabuloni; Wakuu wa Naftali.


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


akisema, Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu; Katikati ya kanisa nitakuimbia sifa.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo