Zaburi 22:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Husema, Umtegemee BWANA; na amponye; Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Husema: “Alimtegemea Mwenyezi-Mungu, basi, Mungu na amkomboe! Kama Mungu anapendezwa naye, basi, na amwokoe!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Husema: “Alimtegemea Mwenyezi-Mungu, basi, Mungu na amkomboe! Kama Mungu anapendezwa naye, basi, na amwokoe!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Husema: “Alimtegemea Mwenyezi-Mungu, basi, Mungu na amkomboe! Kama Mungu anapendezwa naye, basi, na amwokoe!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Wanasema, “Amtegemea Mwenyezi Mungu, basi Mwenyezi Mungu na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Husema, “Anamtegemea bwana, basi bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.” Tazama sura |