Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 22:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu, Katikati ya kusanyiko nitakusifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Nitawasimulia ndugu zangu matendo yako; nitakusifu kati ya kusanyiko lao:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Nitawasimulia ndugu zangu matendo yako; nitakusifu kati ya kusanyiko lao:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Nitawasimulia ndugu zangu matendo yako; nitakusifu kati ya kusanyiko lao:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.

Tazama sura Nakili




Zaburi 22:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwako zinatoka sifa zangu Katika kusanyiko kubwa. Nitaziondoa nadhiri zangu Mbele yao wamchao.


Ee Bwana, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia sifa kati ya mataifa.


Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.


Kisha Yesu akawaambia, Msiogope; nendeni, mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, ndiko watakakoniona.


Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.


Maana wale aliowajua tangu asili, aliwachagua tangu asili wafananishwe na mfano wa Mwana wake, ili yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo