Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 22:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Usiwe mbali nami maana taabu i karibu, Kwa maana hakuna msaidizi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Usikae mbali nami, kwani taabu imekaribia; wala hakuna wa kunisaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Usikae mbali nami, kwani taabu imekaribia; wala hakuna wa kunisaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Usikae mbali nami, kwani taabu imekaribia; wala hakuna wa kunisaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 22:11
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani BWANA akayaona mateso ya Israeli, kwamba yalikuwa machungu sana; maana hakukuwa na mfungwa wala asiyefungwa, wala msaidizi kwa ajili ya Israeli.


Ee BWANA, kwa nini wasimama mbali? Kwani unajificha nyakati za shida?


Wewe, BWANA, umeona, usinyamaze; Ee Bwana, usiwe mbali nami.


Wewe, BWANA, usiniache, Mungu wangu, usijitenge nami.


Uikaribie nafsi yangu, uikomboe, Kwa sababu ya adui zangu unifidie.


Ee Mungu, usiwe mbali nami; Ee Mungu wangu, fanya haraka kunisaidia.


Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima.


Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.


Nikatazama, wala hapakuwa na wa kunisaidia; Nikashangaa kwa kuwa hakuna mwenye kutegemeza; Basi, mkono wangu mwenyewe uliniletea wokovu, Ghadhabu yangu ndiyo iliyonitegemeza.


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.


Ndipo akaanza kulaani na kuapa akisema, Simjui mtu huyu. Na mara jogoo akawika.


Tazama, saa inakuja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; lakini mimi siko peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami.


Kwa kuwa BWANA atawaamua watu wake, Atawahurumia watumwa wake, Aonapo ya kuwa nguvu zao zimeondoka, Na ya kuwa habaki mtu, aliyefungwa wala asiyefungwa,


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo