Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 21:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Kwa maana utawatimua utawafanya wakimbie, Kwa upote wa uta wako utazilenga nyuso zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kwa maana wewe utawatimua mbio, utawalenga usoni kwa mishale yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kwa maana wewe utawatimua mbio, utawalenga usoni kwa mishale yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kwa maana wewe utawatimua mbio, utawalenga usoni kwa mishale yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 kwa kuwa utawafanya wakimbie utakapowalenga usoni pao kwa mshale kutoka upinde wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 kwa kuwa utawafanya wakimbie utakapowalenga usoni pao kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 21:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.


Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Nao walionichukia nimewakatilia mbali.


Waturudisha nyuma tukampa mtesi kisogo, Na watuchukiao wanajipatia mateka.


Ndipo adui zangu watarudi nyuma siku ile niitapo. Neno hili najua kuwa MUNGU yu upande wangu;


Lakini Mungu atawapiga kwa mshale wake, Na kuwajeruhi ghafla.


Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.


Fanyeni shauri pamoja, nalo litabatilika; Semeni neno, lakini halitasimama; Kwa maana Mungu yu pamoja nasi.


Ameupinda upinde wake, Na kunifanya niwe shabaha kwa mshale.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo