Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 21:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Wakipanga kukutenda mabaya, Kwa miango ya hila, hawatafanikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hata kama wakipanga maovu dhidi yako, kama wakitunga mipango ya hila, kamwe hawataweza kufaulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hata kama wakipanga maovu dhidi yako, kama wakitunga mipango ya hila, kamwe hawataweza kufaulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hata kama wakipanga maovu dhidi yako, kama wakitunga mipango ya hila, kamwe hawataweza kufaulu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ingawa watapanga mabaya dhidi yako na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ingawa watapanga mabaya dhidi yako na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,

Tazama sura Nakili




Zaburi 21:11
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.


Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


Maana nimesikia wengi wakinong'onezana; Hofu katika pande zote. Waliposhauriana juu yangu, Walipanga kunitoa uhai wangu.


Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.


Wamesema, Njoni, tuwakatilie mbali wasiwe taifa, Na jina la Israeli halitakumbukwa tena.


Akaniambia, Mwanadamu, hawa ndio watu wale watungao uovu, na kutoa mashauri mabaya ndani ya mji huu;


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Akawatuma Bethlehemu, akasema, Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie.


Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo