Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 20:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 BWANA, umwokoe mfalme, Utuitikie siku tuitayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Umjalie mfalme ushindi, ee Mwenyezi-Mungu; utujibu wakati tunapokuomba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Umjalie mfalme ushindi, ee Mwenyezi-Mungu; utujibu wakati tunapokuomba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Umjalie mfalme ushindi, ee Mwenyezi-Mungu; utujibu wakati tunapokuomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ee Mwenyezi Mungu, mwokoe mfalme! Tujibu tunapokuita!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ee bwana, mwokoe mfalme! Tujibu tunapokuita!

Tazama sura Nakili




Zaburi 20:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika, Utege sikio lako ulisikie neno langu.


Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Inukeni, enyi malango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Ee Mungu, Wewe ndiwe mfalme wangu, Uagize mambo ya wokovu kwa Yakobo.


Uisikie sauti ya kilio changu, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, Kwa maana Wewe ndiwe nikuombaye.


Lakini Mungu ni mfalme wangu tokea zamani, Afanyaye mambo ya wokovu katikati ya nchi.


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


Lakini wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya, na watoto waliopaza sauti zao hekaluni, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi! Walikasirika,


Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana; Hosana juu mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo