Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 2:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mwenyezi-Mungu atawalaye juu mbinguni, anawacheka na kuwadhihaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mwenyezi-Mungu atawalaye juu mbinguni, anawacheka na kuwadhihaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mwenyezi-Mungu atawalaye juu mbinguni, anawacheka na kuwadhihaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Yeye anayetawala mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.

Tazama sura Nakili




Zaburi 2:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Tamko alilolitamka BWANA katika habari zake ndilo hili, Bikira, binti Sayuni, amekudharau, na kukudhihaki sana; binti Yerusalemu ametikisa kichwa chake juu yako.


BWANA yu katika hekalu lake takatifu. BWANA ambaye kiti chake kiko mbinguni, Macho yake yanaangalia; Kope zake zinawapima wanadamu.


Lakini Mungu wetu yuko mbinguni, Alitakalo lote amelitenda.


Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.


BWANA atamcheka, Maana ameona kwamba siku yake inakuja.


Hapo waliingiwa na hofu pasipokuwapo hofu, Maana Mungu ameitawanya mifupa yake aliyekuhusuru. Umewatia aibu, Kwa sababu MUNGU amewadharau.


Na Wewe, BWANA, utawacheka, Utawadhihaki mataifa yote.


Ee nguvu zangu, nitakungoja Wewe, Maana Mungu ndiye aliye ngome yangu.


Apandaye mbingu za mbingu za tangu milele; Aitoa sauti yake, sauti ya nguvu.


Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;


Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu; mtanijengea nyumba ya namna gani? Na mahali pangu pa kupumzikia ni mahali gani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo