Zaburi 19:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kanuni za Mwenyezi-Mungu ni sawa, huufurahisha moyo; amri ya Mwenyezi-Mungu ni safi, humwelimisha mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kanuni za Mwenyezi-Mungu ni sawa, huufurahisha moyo; amri ya Mwenyezi-Mungu ni safi, humwelimisha mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kanuni za Mwenyezi-Mungu ni sawa, huufurahisha moyo; amri ya Mwenyezi-Mungu ni safi, humwelimisha mtu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Maagizo ya Mwenyezi Mungu ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Mwenyezi Mungu huangaza, zatia nuru machoni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Maagizo ya bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za bwana huangaza, zatia nuru machoni. Tazama sura |