Zaburi 19:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Sheria ya Mwenyezi-Mungu ni kamilifu, humpa mtu uhai mpya; masharti ya Mwenyezi-Mungu ni thabiti, huwapa hekima wasio na makuu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Sheria ya Mwenyezi-Mungu ni kamilifu, humpa mtu uhai mpya; masharti ya Mwenyezi-Mungu ni thabiti, huwapa hekima wasio na makuu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Sheria ya Mwenyezi-Mungu ni kamilifu, humpa mtu uhai mpya; masharti ya Mwenyezi-Mungu ni thabiti, huwapa hekima wasio na makuu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Torati ya Mwenyezi Mungu ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Mwenyezi Mungu ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Torati ya bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima. Tazama sura |