Zaburi 19:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kuchomoza kwake ni katika mwisho wa mbingu, Na kuzunguka kwake ni hadi miisho ya mbingu, Wala hakuna kitu Kisichofikiwa na joto lake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lachomoza toka upande mmoja, na kuzunguka hadi upande mwingine; hakuna kiwezacho kuliepa joto lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lachomoza toka upande mmoja, na kuzunguka hadi upande mwingine; hakuna kiwezacho kuliepa joto lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lachomoza toka upande mmoja, na kuzunguka hadi upande mwingine; hakuna kiwezacho kuliepa joto lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake. Tazama sura |