Zaburi 19:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini nani aonaye makosa yake mwenyewe? Ee Mungu, niepushe na makosa nisiyoyajua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini nani aonaye makosa yake mwenyewe? Ee Mungu, niepushe na makosa nisiyoyajua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini nani aonaye makosa yake mwenyewe? Ee Mungu, niepushe na makosa nisiyoyajua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua. Tazama sura |