Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 19:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu kuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Yanifunza mimi mtumishi wako; kuyafuata kwaniletea tuzo kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Yanifunza mimi mtumishi wako; kuyafuata kwaniletea tuzo kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Yanifunza mimi mtumishi wako; kuyafuata kwaniletea tuzo kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 19:11
25 Marejeleo ya Msalaba  

Na kila mara watakapowaletea shitaka toka ndugu zenu wakaao mijini mwao, kuhusu uuaji, uvunjaji wa sheria na amri, kanuni au maagizo, mtawaonya, wasiingie hatiani mbele za BWANA, mkajiliwa na ghadhabu ninyi na ndugu zenu; fanyeni haya wala hamtakuwa na hatia.


Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.


Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.


Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.


Akaniambia, Mwanadamu, lisha tumbo lako, ulijaze tumbo lako kwa hili gombo nikupalo. Ndipo nikalila, nalo kinywani mwangu lilikuwa tamu, kama utamu wa asali.


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.


Siyaandiki hayo ili kuwatahayarisha; bali kuwaonya kama watoto niwapendao.


Ndugu, tunawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.


akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda, bali mpokee thawabu timilifu.


Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo