Zaburi 18:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Ndipo nchi iliyotikisika na kutetemeka, Misingi ya milima ikatingizika; Ikatikisika kwa sababu alikuwa na ghadhabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Hapo dunia ikatetemeka na kutikisika; misingi ya milima ikayumbayumba, kwani Mungu alikuwa amekasirika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Hapo dunia ikatetemeka na kutikisika; misingi ya milima ikayumbayumba, kwani Mungu alikuwa amekasirika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Hapo dunia ikatetemeka na kutikisika; misingi ya milima ikayumbayumba, kwani Mungu alikuwa amekasirika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya milima ikatikisika; vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya milima ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika. Tazama sura |
Na siku hiyo miguu yake itasimama juu ya mlima wa Mizeituni, unaoelekea Yerusalemu upande wa mashariki, nao mlima wa Mizeituni utapasuka katikati yake, upande wa mashariki na upande wa magharibi; litakuwako huko bonde kubwa sana; na nusu ya mlima ule utaondoka kwenda upande wa kaskazini, na nusu yake itaondoka kwenda upande wa kusini.