Zaburi 18:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Katika taabu yangu nilimwita Mwenyezi-Mungu, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Aliisikia sauti yangu hekaluni mwake; kilio changu kilimfikia masikioni mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Katika taabu yangu nilimwita Mwenyezi-Mungu, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Aliisikia sauti yangu hekaluni mwake; kilio changu kilimfikia masikioni mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Katika taabu yangu nilimwita Mwenyezi-Mungu, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Aliisikia sauti yangu hekaluni mwake; kilio changu kilimfikia masikioni mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Katika shida yangu nalimwita Mwenyezi Mungu, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika mbele zake, masikioni mwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Katika shida yangu nalimwita bwana, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika mbele zake, masikioni mwake. Tazama sura |