Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 18:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Nitawapigapiga wasiweze kusimama, Wataanguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Niliwaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Niliwaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Niliwaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 18:38
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimewakomesha na kuwapiga wasiweze kusimama; Naam, wameanguka chini ya miguu yangu.


Utawafanya kuwa kama tanuri ya moto, Wakati wa ghadhabu yako. BWANA atawameza kwa ghadhabu yake, Na moto utawateketeza.


Huko ndiko walikoanguka wafanyao maovu; Wameangushwa chini wasiweze kusimama.


Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.


BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.


Ndipo wakaenda Keila, Daudi na watu wake, wakapigana na hao Wafilisti, wakateka nyara ng'ombe zao, na kuwaua uuaji mkuu. Hivyo Daudi akawaokoa watu wa Keila.


Naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jioni hadi jioni ya siku ya pili; hakuna aliyeokoka, ila vijana mia nne waliopanda ngamia na kukimbia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo