Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 18:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.

Tazama sura Nakili




Zaburi 18:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Umezifanyia nafasi hatua zangu, Wala miguu yangu haikuteleza.


Hatua zake za nguvu zitasongwa, Na shauri lake mwenyewe litamwangusha chini.


Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Uliniokoa nilipokuwa katika shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.


Bali waitafutao nafsi yangu, ili kuiangamiza, Wataingia katika vilindi vya nchi.


Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo