Zaburi 18:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Nawe umenipa ngao ya wokovu wako, Mkono wako wa kulia umenitegemeza, Na unyenyekevu wako umenikuza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Umenipa ngao yako ya kuniokoa; mkono wako wa kulia umenitegemeza; wema wako umenifanikisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Umenipa ngao yako ya kuniokoa; mkono wako wa kulia umenitegemeza; wema wako umenifanikisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Umenipa ngao yako ya kuniokoa; mkono wako wa kulia umenitegemeza; wema wako umenifanikisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Hufanya msaada wa wokovu wako kuwa ngao yangu, nao mkono wako wa kuume hunitegemeza; msaada wako umeniinua niwe mkuu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Hunipa ngao yako ya ushindi, nao mkono wako wa kuume hunitegemeza, unajishusha chini ili kuniinua. Tazama sura |