Zaburi 18:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Ndipo BWANA akanilipa sawasawa na haki yangu, Sawasawa na usafi wa mikono yangu mbele zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Mwenyezi-Mungu amenituza kadiri ya uadilifu wangu; yeye ajua kwamba mikono yangu haina hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Mwenyezi-Mungu amenituza kadiri ya uadilifu wangu; yeye ajua kwamba mikono yangu haina hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Mwenyezi-Mungu amenituza kadiri ya uadilifu wangu; yeye ajua kwamba mikono yangu haina hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Mwenyezi Mungu amenilipa sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake. Tazama sura |