Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 18:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Akanitoa akanipeleka panapo nafasi, Aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Alinileta, akaniweka mahali pa usalama; alinisalimisha, kwani alipendezwa nami.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Alinileta, akaniweka mahali pa usalama; alinisalimisha, kwani alipendezwa nami.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Alinileta, akaniweka mahali pa usalama; alinisalimisha, kwani alipendezwa nami.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura Nakili




Zaburi 18:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na ahimidiwe BWANA, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli; kwa kuwa BWANA amewapenda Israeli milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme, ufanye hukumu na haki.


Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Katika shida yangu nilimwita BWANA; BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.


Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.


Wala hukunitia mikononi mwa adui; Miguu yangu umeisimamisha mahali penye usalama.


Hatua za mtu mwema huimarishwa na BWANA, Naye huipenda njia yake.


Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo