Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 17:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Unilinde kama mboni ya jicho, Unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Unilinde kama mboni ya jicho; unifiche kivulini mwa mabawa yako,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Unilinde kama mboni ya jicho; unifiche kivulini mwa mabawa yako,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Unilinde kama mboni ya jicho; unifiche kivulini mwa mabawa yako,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mabawa yako

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako

Tazama sura Nakili




Zaburi 17:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.


Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.


Watashibishwa kwa unono wa nyumba yako, Nawe utawanywesha kutoka mto wa furaha zako.


Unirehemu, Ee Mungu, unirehemu mimi, Maana nafsi yangu imekukimbilia Wewe. Nitaukimbilia uvuli wa mbawa zako, Hadi misiba hii itakapopita.


Nitamwita MUNGU Aliye Juu, Mungu anitimiziaye mambo yangu.


Nitakaa katika hema yako milele, Na kupata kimbilio chini ya mbawa zako.


Maana Wewe, Mungu, umezisikia nadhiri zangu. Umewapa urithi wao waliogopao jina lako.


Maana Wewe umekuwa msaada wangu, Na uvulini mwa mbawa zako nitashangilia.


Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.


Kwa manyoya yake atakufunika, Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao.


Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake.


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga kwa mawe waliotumwa kwako, mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, wala hamkutaka.


Alimkuta katika nchi ya ukame, Na katika jangwa tupu litishalo; Alimzunguka, akamtunza; Akamhifadhi kama mboni ya jicho;


BWANA akujaze kwa kazi yako, nawe upewe thawabu kamili na BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye umekuja kukimbilia chini ya mabawa yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo