Zaburi 17:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Inuka, Ee BWANA, umkabili, umwangushe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi yangu na mtu mbaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwakabili na kuwaporomosha. Kwa upanga uiokoe nafsi yangu kutoka kwa waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwakabili na kuwaporomosha. Kwa upanga uiokoe nafsi yangu kutoka kwa waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwakabili na kuwaporomosha. Kwa upanga uiokoe nafsi yangu kutoka kwa waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Inuka, Ee Mwenyezi Mungu, pambana nao, uwaangushe, niokoe kwa upanga wako kutoka kwa waovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Inuka, Ee bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako. Tazama sura |