Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 17:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Hao hawana huruma yoyote moyoni; wamejaa maneno ya kujigamba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Hao hawana huruma yoyote moyoni; wamejaa maneno ya kujigamba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Hao hawana huruma yoyote moyoni; wamejaa maneno ya kujigamba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.

Tazama sura Nakili




Zaburi 17:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;


Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.


Nafsi zetu zimeshiba mzaha wa wenye raha, Na dharau ya wenye kiburi.


Midomo ya uongo iwe na ububu, Imneneayo mwenye haki maneno ya kiburi, Kwa majivuno na dharau.


Adui akasema, Nitafuata, nitapata, nitagawanya nyara, Nafsi yangu itashibishwa na wao; Nitaufuta upanga wangu, mkono wangu utawaangamiza.


Farao akasema, BWANA ni nani, hata niisikilize sauti yake, na kuwapa Israeli ruhusa waende zao? Mimi simjui BWANA, wala sitawapa Israeli ruhusa waende zao.


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.


Kwa maana mioyo ya watu hawa imepumbaa, Na masikio yao ni mazito ya kusikia, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.


Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke; Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda; Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya, Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.


Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu;


Msizidi kunena kwa kutakabari hivyo; Majivuno yasitoke vinywani mwenu; Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa, Naye huyapima matendo kwa mizani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo