Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 16:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nayo nafsi yangu inashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kwa hiyo nitafurahi kwa moyo wote na kushangilia, nami nitakaa salama salimini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kwa hiyo nitafurahi kwa moyo wote na kushangilia, nami nitakaa salama salimini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kwa hiyo nitafurahi kwa moyo wote na kushangilia, nami nitakaa salama salimini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,

Tazama sura Nakili




Zaburi 16:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, moyo wangu u thabiti, Nitaimba, nitaimba zaburi, Naam, kwa utukufu wangu.


Ili nafsi yangu ikusifu, Wala isinyamaze. Ee BWANA, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.


Amka, ee moyo wangu. Amka, kinanda na kinubi, Nitaamka alfajiri.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Wafu wako wataishi, maiti zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi mnaokaa mavumbini, kwa maana umande wako ni kama umande wa mimea, nayo ardhi itawatoa waliokufa.


Lakini nenda zako hata utakapokuwa mwisho ule; maana wewe utastarehe, nawe utaamka katika kura yako mwisho wa siku hizo.


Kwa hiyo moyo wangu ukapendezewa, ulimi wangu ukafurahi; Tena mwili wangu nao utakaa katika matumaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo