Zaburi 16:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nayo nafsi yangu inashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Kwa hiyo nitafurahi kwa moyo wote na kushangilia, nami nitakaa salama salimini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Kwa hiyo nitafurahi kwa moyo wote na kushangilia, nami nitakaa salama salimini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Kwa hiyo nitafurahi kwa moyo wote na kushangilia, nami nitakaa salama salimini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama, Tazama sura |