Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 16:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Mipaka yangu imeangukia mahali pema, Naam, nimepata urithi mzuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Umenipimia sehemu nzuri sana; naam, urithi wangu ni wa kupendeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Umenipimia sehemu nzuri sana; naam, urithi wangu ni wa kupendeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Umenipimia sehemu nzuri sana; naam, urithi wangu ni wa kupendeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.

Tazama sura Nakili




Zaburi 16:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Utaziongeza siku za mfalme, Miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Lakini mimi nilisema, Nitawezaje kukuweka pamoja na watoto, na kukupa nchi ipendezayo, urithi ulio mwema wa mataifa? Nami nikasema, Mtaniita, Baba yangu, wala hamtageuka na kuacha kunifuata.


kwa hiyo, BWANA asema hivi, Mke wako atakuwa kahaba mjini, na wana wako na binti zako wataanguka kwa upanga, na shamba lako litagawanywa kwa kamba; na wewe mwenyewe utakufa katika nchi iliyo najisi; na bila shaka Israeli atapelekwa uhamishoni mbali na nchi yake.


Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.


na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye.


macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo;


Kama tukistahimili, tutamiliki pamoja naye; Kama tukimkana yeye, yeye naye atatukana sisi;


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo