Zaburi 16:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Maana hutaitupa kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Naam wewe hutaiacha nafsi yangu kuzimu, hutaniacha mimi mwaminifu wako nipate kuoza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Naam wewe hutaiacha nafsi yangu kuzimu, hutaniacha mimi mwaminifu wako nipate kuoza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Naam wewe hutaiacha nafsi yangu kuzimu, hutaniacha mimi mwaminifu wako nipate kuoza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 kwa maana hutaniacha Kuzimu, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. Tazama sura |