Zaburi 150:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Msifuni kwa matoazi yaliayo; Msifuni kwa matoazi yavumayo sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Msifuni kwa kupiga matoazi. Msifuni kwa matoazi ya sauti kubwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Msifuni kwa kupiga matoazi. Msifuni kwa matoazi ya sauti kubwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Msifuni kwa kupiga matoazi. msifuni kwa matoazi ya sauti kubwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana. Tazama sura |
hata ikawa, wenye panda na waimbaji walipokuwa kama mmoja, wakisikizisha sauti moja ya kumsifu na kumshukuru BWANA nao wakipaza sauti pamoja na panda na matoazi na vinanda, wakimsifu BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele; ndipo nyumba ikajawa na wingu, naam, nyumba ya BWANA,