Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 15:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Asiyesingizia kwa ulimi wake. Wala kumtenda mwenziwe mabaya, Wala kumsengenya jirani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 ni mtu asiyesengenya watu, asiyemtendea uovu rafiki yake, wala kumfitini jirani yake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 ni mtu asiyesengenya watu, asiyemtendea uovu rafiki yake, wala kumfitini jirani yake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 ni mtu asiyesengenya watu, asiyemtendea uovu rafiki yake, wala kumfitini jirani yake;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 na hana masingizio ulimini mwake, asiyemtenda jirani yake vibaya, na asiyemsingizia mwenzake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 na hana masingizio ulimini mwake, asiyemtenda jirani yake vibaya, na asiyemsingizia mwenzake,

Tazama sura Nakili




Zaburi 15:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.


Mbingu huenda juu sana, na nchi huenda chini; Lakini mioyo ya wafalme haichunguziki.


Heri afanyaye haya, na mwanadamu ayashikaye sana; azishikaye sabato asizivunje, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii.


wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,


Msimlipe mtu ovu kwa ovu. Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.


Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.


wasimtukane mtu yeyote, wasiwe wagomvi, wawe wema, wakiwa wapole sana kwa watu wote.


Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.


Tena, baba yangu, tazama, tafadhali, tazama upindo wa vazi lako mkononi mwangu; maana ikiwa nimeukata upindo wa vazi lako, nisikuue, ujue, na kuona ya kuwa hakuna uovu wala kosa mkononi mwangu, wala sikukukosa neno; ingawa wewe unaniwinda roho yangu ili kuikamata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo