Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 148:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Na vilisifu jina la BWANA, Kwa maana aliamuru, vikaumbwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Vyote vilisifu jina la Mwenyezi-Mungu, maana yeye aliamuru, na vyote vikawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Vyote vilisifu jina la Mwenyezi-Mungu, maana yeye aliamuru, na vyote vikawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Vyote vilisifu jina la Mwenyezi-Mungu, maana yeye aliamuru, na vyote vikawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Vilisifu jina la Mwenyezi Mungu kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Vilisifu jina la bwana kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 148:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.


Mhimidini BWANA, enyi malaika zake, Ninyi mlio hodari, mtendao neno lake, Mkiisikiliza sauti ya neno lake.


Bahari ni yake, ndiye aliyeifanya, Na mikono yake iliumba nchi kavu.


Yeye ndiye avijengaye vyumba vyake mbinguni, na kuweka misingi ya kuba yake juu ya nchi; yeye ndiye ayaitaye maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa nchi; BWANA ndilo jina lake.


Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea utukufu na heshima na uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako vilikuwako, navyo vikaumbwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo