Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 148:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Hayawani, na wanyama wafugwao, Vitambaavyo, na ndege wenye mbawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Msifuni enyi wanyama wa porini na wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege wote!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Msifuni enyi wanyama wa porini na wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege wote!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Msifuni enyi wanyama wa porini na wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege wote!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 wanyama pori na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 wanyama wa mwituni na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao,

Tazama sura Nakili




Zaburi 148:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

wao na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi, kwa jinsi yake, na kirukacho kwa jinsi yake, kila ndege wa namna yoyote.


Mhimidini BWANA, enyi matendo yake yote, Mahali pote pa milki yake. Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.


Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.


Wanyama pori wataniheshimu, mbweha pia na mbuni; kwa sababu nimewapa maji jangwani, na mito nyikani, ili kuwanywesha watu wangu, wateule wangu;


juu ya mlima wa mahali palipoinuka pa Israeli nitakipanda; nacho kitatoa matawi, na kuzaa matunda, nao utakuwa mwerezi mzuri; na chini yake watakaa ndege wa kila namna ya mbawa; katika uvuli wa matawi yake watakaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo