Zaburi 148:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Hayawani, na wanyama wafugwao, Vitambaavyo, na ndege wenye mbawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Msifuni enyi wanyama wa porini na wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege wote! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Msifuni enyi wanyama wa porini na wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege wote! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Msifuni enyi wanyama wa porini na wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege wote! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 wanyama pori na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 wanyama wa mwituni na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao, Tazama sura |