Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 147:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Anawaponya waliovunjika moyo; na kuwatibu majeraha yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Anawaponya waliovunjika moyo; na kuwatibu majeraha yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Anawaponya waliovunjika moyo; na kuwatibu majeraha yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Anawaponya waliovunjika mioyo na kuvifunga vidonda vyao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Anawaponya waliovunjika mioyo na kuvifunga vidonda vyao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 147:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani yeye huumiza, lakini tena huuguza; Yeye hutia jeraha, na mikono yake huponya.


BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo, Na huwaokoa waliopondeka roho.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubirie wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwatibu waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.


Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.


Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliotangatanga, nitawatibu waliojeruhiwa, nitawatia nguvu wagonjwa; nao wanono na wenye nguvu nitawaharibu; nitawalisha hukumu.


Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawachomozea, likiwa na uwezo wa kuponya katika miale yake; nanyi mtatoka nje, na kuchezacheza kama ndama watokapo mazizini.


Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo