Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 147:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Hutupa mvua ya mawe kama makombo, Mbele ya baridi yake ni nani awezaye kusimama?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Huleta mvua ya mawe kama kokoto na kwa ubaridi wake maji huganda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Huleta mvua ya mawe kama kokoto na kwa ubaridi wake maji huganda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Huleta mvua ya mawe kama kokoto na kwa ubaridi wake maji huganda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe. Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi yake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe. Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi yake?

Tazama sura Nakili




Zaburi 147:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha ikawa, hapo walipokuwa wakikimbia mbele ya Israeli, hapo walipokuwa wakiteremka Beth-horoni, ndipo BWANA alipowatupia mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao hadi kufikia Azeka, nao wakafa; hao waliokufa kwa kuuawa na hayo mawe ya barafu walikuwa ni wengi kuliko hao waliouawa na wana wa Israeli kwa upanga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo