Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 147:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Ndiye atoaye theluji kama sufu, Huimwaga barafu yake kama majivu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hutandaza theluji kama pamba, hutawanya umande kama majivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hutandaza theluji kama pamba, hutawanya umande kama majivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hutandaza theluji kama pamba, hutawanya umande kama majivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Anatandaza theluji kama sufu na kutawanya umande kama majivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Anatandaza theluji kama sufu na kutawanya umande kama majivu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 147:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na pia kwa manyunyu ya mvua, Hayo manyunyu ya mvua yake nyingi.


Je! Umeziingia ghala za theluji, Au umeziona ghala za mvua ya mawe,


Barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na sakitu ya mbinguni ni nani aliyeizaa?


Moto na mvua ya mawe, theluji na mvuke, Upepo wa dhoruba utimizao neno lake.


Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo