Zaburi 147:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Ndiye atoaye theluji kama sufu, Huimwaga barafu yake kama majivu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Hutandaza theluji kama pamba, hutawanya umande kama majivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Hutandaza theluji kama pamba, hutawanya umande kama majivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Hutandaza theluji kama pamba, hutawanya umande kama majivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Anatandaza theluji kama sufu na kutawanya umande kama majivu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Anatandaza theluji kama sufu na kutawanya umande kama majivu. Tazama sura |