Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 147:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Huipeleka amri yake juu ya nchi, Neno lake lapiga mbio sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Yeye hupeleka amri yake duniani, na neno lake hufikia lengo lake haraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yeye hupeleka amri yake duniani, na neno lake hufikia lengo lake haraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yeye hupeleka amri yake duniani, na neno lake hufikia lengo lake haraka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Hutuma amri yake duniani, neno lake hukimbia kasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Hutuma amri yake duniani, neno lake hukimbia kasi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 147:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Nalo hugeuzwa huku na huku kwa uongozi wake, Ili yafanye yote atakayoyaagiza Juu ya uso wa dunia hii ikaayo watu;


Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.


Maana alisema, akavumisha upepo wa dhoruba, Ukayainua juu mawimbi ya bahari.


Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa;


Lakini BWANA alituma upepo mkuu baharini, ikawa tufani kubwa baharini, hata merikebu ikawa karibu kuvunjika.


Naye Yesu akamwambia yule afisa, Nenda zako; na iwe kwako kama ulivyoamini. Mtumishi wake akapona wakati ule ule.


Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa kote kama ilivyo kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo