Zaburi 147:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Maana amevikaza vipingo vya malango yako, Amewabariki wanao ndani yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Maana yeye huimarisha milango yako, huwabariki watu waliomo ndani yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Maana yeye huimarisha milango yako, huwabariki watu waliomo ndani yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Maana yeye huimarisha milango yako, huwabariki watu waliomo ndani yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako na huwabariki watu wako walio ndani yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako na huwabariki watu wako walio ndani yako. Tazama sura |
itasikika tena sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti yao wasemao Mshukuruni BWANA wa majeshi, maana BWANA ni mwema, rehema zake ni za milele; na sauti zao waletao sadaka za shukrani nyumbani kwa BWANA. Kwa kuwa nitawarudisha wafungwa wa nchi hii kama kwanza, asema BWANA.