Zaburi 145:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 BWANA ni mwenye fadhili na huruma, Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mwenyezi Mungu ni mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo. Tazama sura |