Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 144:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Vinywa vyao vinasema visivyofaa, Na ambao mikono yao ya kulia ni ya uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 144:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye Juu sana, Muumba mbingu na nchi,


Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu,


Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena.


Waovu hupotoka hata kabla ya kuzaliwa kwao; Tangu tumboni wamepotea, wakisema uongo.


Mpango wao ni kumwangusha tu mtu mwenye cheo; Huufurahia uongo. Kwa kinywa chao hubariki; Kwa moyo wao hulaani.


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Na mkono wako wa kulia ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee kuliko mwili wako wote kutupwa katika Jehanamu.


Maana, nainua mkono wangu mbinguni, Na kusema, Kama Mimi niishivyo milele,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo