Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 144:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Uniponye, unitoe, Katika mkono wa wageni. Vinywa vyao vyasema visivyofaa, Na mkono wao wa kulia ni mkono wa uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Uniokoe na upanga wa adui katili, uniondoe makuchani mwa wageni, ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Uniokoe na upanga wa adui katili, uniondoe makuchani mwa wageni, ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Uniokoe na upanga wa adui katili, uniondoe makuchani mwa wageni, ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nikomboe na uniokoe kutoka mikononi mwa wageni ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Nikomboe na uniokoe kutoka mikononi mwa wageni ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 144:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo